Skip to main content

CoFFee

Glass tunaraise juu, juu ya blessings,
Thoughts mingi tunapunguza na tot,
Totally, we give thanks for the toast,
We are here for plus, ukinipiga minus naku-roast.
Boss ,si boast, lakini siezi  loose juu sina host.

Wengi wanadai lottery iko saudi, but i find alot in arabica,
Store yangu imejaa, jars full of liquor,but siezi waka,
Usitie shaka juu nimefika, hakuna haja ya kunisaka,
Roro ni Goat, lakini matata ya number saba imepewa saka,
Kwani tofauti ya saa na masaa ni madakika.


Sikuhizi watoto wa hawa ndo wako idhaa ya kahawa,
Lakini hawawezi itisha rounds, juu adamu ndo ako na dawa,
Wanasema wasikupate na wapoa wao, hadi unaeza dhani hauko sawa, kumbe mlevi ndo u-elewa,
Mwambie with current the settingz, kidole kimoja inaezewa uwa chawa,
Kaza kamba ya oxygen, wasikupimie ma-hewa,
Mapema ndio best, aiiiii mimi nita-make appearance kama nimechelewa.

Pupa pia tunapunguza na mangoma ya fally,
Aha, kuumia kwa nyazi inatakikana mafahali,
We lala wakati watu hawa-lali, wasika zao halali,
Chalii, Peleka pole pole utapata wako wa geti-kali,
Iyo kesi si ya baadae, tuko na wakili,
Sause yetu ni ya tomato lakini iko na chilly,
Weather isikufanye u-chill, nitakuserve na souse juu bill yetu inalipwa mara mbili mbili.

Boyz amevaa durag, anadai apewe hug,
Watu wana-chase bag, boyz ana-chase hug,
Dawg, usijione G sana, kuna wenye wana-own Wagon na hawa-brag,
Usikuwe dragged na drug, bado tu utachota maji na jug,
Ziggy isikufanye uchore zig zag, iyo Zaga hautawezana nayo labda ukuwe na tag.

Night life inataka support ya supplement,
No wonder ni ngumu kukesha bila motive kama element,
Ata Usiku sacco wana-make move after maombi ya achievement,
Kama hautaki kurudi misri, itabidi umejiamini ndo u-avoid story na predicament.

Piga makofi kama wewe ni fun wa koffi,😅
Baana, ngoma za olamide zinaraise bars kwa jockey,
Oflate Choco has been my recipe, my recipients wandelea kuraise eye brows na toffee,
Hints sikuhizi inapewa na tropical mints, lakini kwa wale wakorofi,
Still tunaenda shule tukilipa fee but vitu tumelearn ni experience at a no fee,
Kutenda inaambatana na kusema,lakini bado kwa kuongea Tuko goofy.
#KDJ
#VibingVerbally...


Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

Mr. Sluggard!

  Ata kama kuna rain, me bado na reign, Kwani si mind stain,nina crown 👑 juu ya paint ya pain, Bado na maintain lane, sitaki abel ani-cain, Juu nilikuwa among the chain, But rhythm yangu nko nayo kwa brain, usijiite bad boy mbele ya villain. Sikuizi wanapeana pleasure time ya leisure, Wanaifanya kama hobby, hakuna time ya ku measure, Wako kwa izo kwa mashimo, nikama wanasaka treasure, Eti hakuna kulala mwenyewe kama slasher, Chunga, usikose hewa uko shimo la tewa juu ya pressure, Kwani sacrifice ni mob, blessings inakam kwa bahasha. Wajakoyah anamanifest change, through snake farming, Amesahau uku ni nyasi, kuna nyoka wengi, Vipers around, wanatoa kichwa kama wiper, Ready to bite but hawana iyo sumu, enye itawafanya wakuwe hyper, Baana, wakikuonyesha wamemea makucha, remind them, we ndo uko na clippers, Tuna sip sip, kidogo kidogo tuna slip in, kama mguu kwa slippers, Wanawashwa na m@fi, ebu wabadilishie diapers, Ata yesu, alijipa distance akitibu the 10 lepers, ...

Stand Hard-standard

  Am here stuck with no luck but i got hack, penye niko, siko mwenyewe i got my back, Napata intel juu ya intelligence, na bado i got  excellence in black, Days inapita haraka hadi siezi mark days dark, Wenye vibe negative siezi waweka juu kuna vitu wana lack, Kuchachisha si lazima kwani mwenye mbwa si mwenye anabark. Tao, dem wako anabebwa na wenye voucher, Ocha, bado atakam kwako na nyama enye imetoka kwa butcher, Teacher hawezi kuambia uko na kichaa, Akili kichwani, ni usikanishe nayo ama wacha, Sawa, Si lazima waku-kubali juu hauna picha, Pengine uko na sababu yako, kuificha. Kama we ni wa nidhamu,ata wa damu anaweza kuku-dhulumu, Mkono ni ya gum na ako na hamu, Ama tuseme hamu yake haina gamu, Ambatanisha ginger na garlic ama pili pili iko na saumu ? Enyewe engine haiwezi toka bila gurudumu,😅 Na wakitoka ? hawawezi pin,but location ni humu humu. Imagine, eti wenye hawapendi "RAW" ndo wako na uso-ro, Kwa uso hawana tint, but wanapeana hint kwa wakoro, ...